Msanii wa Bongo Flava maarufu kama Mbosso ameondoka rasmi kwenye Label ya Muziki ya WCB Wasafi ambayo inamilikiwa na Diamond Platnumz.
Tip of the Day - Music
As of 2024, Tanzanian musician Diamond Platnumz has an estimated net worth ranging between $10 million and $12 million. This wealth stems from his successful music career, business ventures, and endorsement deals.
Kwa sasa Mbosso hajathibitisha hayo, lakini kwa mujibu wa Producer wa Label hiyo maarufu kama Laizer, Mbosso tayari ameshatoka rasmi kwenye Label hiyo.